iqna

IQNA

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema Saudia inaweka vizuizi ili Wairani wasishiriki katika ibada ya Hija ya mwaka huu.
Habari ID: 3470278    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/29